Sunday, October 31, 2010

Vicent ashinda kwa kishindo Musoma


Taarifa rasmi iliyosomwa na msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Musoma Mjini mida ya saa 11:30 asubuhi ya leo zinasema VICENT NYERERE kashinda kiti cha Ubunge Musoma mjini kwa tiketi ya CHADEMA baada ya kumbwaga vibaya Mbunge wa zamani kwa tiketi ya CCM ndugu Vedasto Mathayo Manyinyi

Vicent Nyerere - Chadema 21,335 (56.71%)

Vedasto Mathayo Manyinyi - CCM 14,072 (39.38%)

Mustafa Juma Wandwi - CUF 253(0.71%)

Chrisant Ndege Nyakilita (Democracy Party) 53 (0.15%)

Tabu Said Machibya (NCCR) 19(0.05%)

Monday, October 25, 2010

Dr. Slaa Live

Ziara ya Kumnadi Vicent Nyerere - Jimbo la Musoma Mjini

Zitto na Vicent wakijadili

Zitto na Vincent wakiwa Jukwaani

Zitto na Vicent wakiwa sambamba

Baadhi ya wakereketwa wakifuatilia sambamba hotuba

Hii ni moja ya beji

Vicent akimwaga sera Baadhi ya wakereketwa

Moja ya handmade mabango

Palikuwa hapatoshi

Monday, August 2, 2010

SABODO AICHANGIA CHADEMA MILIONI 100

CHADEMA OFFICIALLY DECLARES DR.SLAA PARTY'S PRESIDENTIAL CANDIDATE Part I

Chadema yamsimamisha Mwanazuoni kuwa mbunge Kasulu Magharibi

Chama cha CHADEMA kimemteua Mwanazuoni wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustine,Basilius Ntizirusha Budida kuwa mgombea Ubunge katika jimbo la Kasulu Magharibi. Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Kasulu , Emmanuel Petro Gahagim, alisema Basilius ameteuliwa kuwa mgombe kupitia mkutano mkuu wa jimbo uliofanyika Julai 27 mwaka huu katika ofisi za chama zilizopo maeneo ya Buhigwe jimboni humo. Mwenyekiti huyo alisema viongozi wa matawi, kata na jimbo wa chama hicho walimpitisha mgombea huyo baada ya kumteua